Skip to content
Mithali 2:10-12

Mithali 2:10-12

10
Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako, nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.
11
Busara itakuhifadhi na ufahamu utakulinda.
12
Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu, kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options