Skip to content
Mithali 2:1-5

Mithali 2:1-5

1
Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,
2
kutega sikio lako kwenye hekima na kuweka moyo wako katika ufahamu,
3
na kama ukiita busara na kuita kwa sauti ufahamu,
4
na kama utaitafuta kama fedha na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,
5
ndipo utakapoelewa kumcha Bwana na kupata maarifa ya Mungu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options