Skip to content
Mithali 19:1-3

Uadilifu Dhidi ya Upumbavu

Mithali 19:1-3
1
Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.
2
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
3
Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake hata hivyo moyo wake humkasirikia Bwana.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options