1
Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama, kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.
2
Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa, wala kufanya haraka na kuikosa njia.
3
Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake hata hivyo moyo wake humkasirikia Bwana.