Skip to content
Mithali 18:10-11

Mithali 18:10-11

10
Jina la Bwana ni ngome imara, wenye haki huikimbilia na kuwa salama.
11
Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome, wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options