Skip to content
Mithali 15:18-19

Mithali 15:18-19

18
Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi, bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.
19
Njia ya mvivu imezibwa na miiba, bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options