Skip to content
Mithali 11:7-8

Mithali 11:7-8

7
Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka; yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.
8
Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu, naye mtu mwovu huingia humo badala yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options