Skip to content
Mithali 11:5-6

Mithali 11:5-6

5
Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka, bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.
6
Haki ya wanyofu huwaokoa, bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options