Skip to content
Mithali 11:3-4

Mithali 11:3-4

3
Uadilifu wa wenye haki huwaongoza, bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.
4
Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options