Skip to content
Mithali 1:26-27

Mithali 1:26-27

26
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:
27
wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli, wakati dhiki na taabu zitawalemea.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options