Skip to content
Mithali 1:26-27

Mithali 1:26-27

26
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:
27
wakati janga litawapata kama tufani, wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli, wakati dhiki na taabu zitawalemea.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options