Mithali 1:24-26
24
Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita na hakuna yeyote aliyekubali niliponyoosha mkono wangu,
25
kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,
26
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata: