Skip to content
Mithali 1:24-26

Mithali 1:24-26

24
Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita na hakuna yeyote aliyekubali niliponyoosha mkono wangu,
25
kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote na hamkukubali karipio langu,
26
mimi nami nitawacheka katika maafa yenu, nitawadhihaki wakati janga litawapata:
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options