Mithali 1:17-19
17
Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!
18
Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!
19
Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali.