Mithali 1:15-19
15
Mwanangu, usiandamane nao. Usiweke mguu wako katika njia zao,
16
kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi, ni wepesi kumwaga damu.
17
Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu wakati ndege wote wanakuona!
18
Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe; hujivizia tu wenyewe!
19
Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila; huuondoa uhai wa wale wenye mali.
Settings