Mithali 1:11-13
11
Kama wakisema, “Twende tufuatane; tukamvizie mtu na kumwaga damu, njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;
12
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.
13
Tutapata aina zote za vitu vya thamani na kujaza nyumba zetu kwa nyara.