Skip to content
Mithali 1:11-12

Mithali 1:11-12

11
Kama wakisema, “Twende tufuatane; tukamvizie mtu na kumwaga damu, njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;
12
tuwameze wakiwa hai kama kaburi, wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options