Skip to content
Mithali 1:1-4

Mithali 1:1-4

1
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:
2
Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;
3
kwa kujipatia nidhamu na busara, kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
4
huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options