Mithali 1:1-4
1
Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:
2
Kwa kupata hekima na nidhamu; kwa kufahamu maneno ya busara;
3
kwa kujipatia nidhamu na busara, kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;
4
huwapa busara wajinga, maarifa na akili kwa vijana;