Skip to content
Wafilipi 4:4-7

Wafilipi 4:4-7

4
Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini!
5
Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.
6
Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.
7
Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options