Skip to content
Wafilipi 2:3-5

Wafilipi 2:3-5

3
Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.
4
Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.
5
Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options