Skip to content
Wafilipi 2:2-3

Wafilipi 2:2-3

2
basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.
3
Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options