跳到主要内容
Wafilipi 1:15-16

Wafilipi 1:15-16

15
Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.
16
Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options