Skip to content
Hesabu 31:25-27

Hesabu 31:25-27

25
Bwana akamwambia Mose,
26
“Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.
27
Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options