Hesabu 29:35-36
35
“ ‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.
36
Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza Bwana, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.