Skip to content
Hesabu 28:3-4

Hesabu 28:3-4

3
Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea Bwana: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.
4
Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options