Skip to content
Hesabu 28:1-2

Sheria ya Sadaka za Pamoja

Hesabu 28:1-2
1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options