Hesabu 27:18-20
18
Kwa hiyo Bwana akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.
19
Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.
20
Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii.