Hesabu 26:23-25
23
Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola; kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;
24
kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu; kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.
25
Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.