Hesabu 24:22-24
22
Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa Ashuru atakapowachukua mateka.”
23
Ndipo akatoa ujumbe wake: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?
24
Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu, zitaitiisha Ashuru na Eberi, lakini nao pia wataangamizwa.”