Skip to content
Hesabu 23:11-12

Hesabu 23:11-12

11
Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”
12
Balaamu akajibu, “Je, hainipasi kusema kile Bwana anachoweka katika kinywa changu?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options