Skip to content
Hesabu 20:23-26

Hesabu 20:23-26

23
Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa Edomu, Bwana akamwambia Mose na Aroni,
24
“Aroni atakusanywa pamoja na watu wake. Hataingia katika nchi ninayowapa Waisraeli, kwa sababu ninyi wawili mliasi dhidi ya agizo langu kwenye maji ya Meriba.
25
Watwae Aroni na Eleazari mwanawe, na uwapandishe juu katika Mlima wa Hori.
26
Mvue Aroni mavazi yake, na umvike Eleazari mwanawe, kwa maana Aroni atakusanywa pamoja na watu wake; atakufa huko.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options