Skip to content
Hesabu 20:2-3

Hesabu 20:2-3

2
Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya jumuiya hiyo, nao wakakusanyika ili kumpinga Mose na Aroni.
3
Watu wakagombana na Mose, na kusema, “Laiti tungelikufa wakati ndugu zetu walipoanguka na kufa mbele za Bwana!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options