跳到主要内容
Hesabu 15:32-34

Hesabu 15:32-34

32
Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato.
33
Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Mose, Aroni na kusanyiko lote,
34
nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options