Skip to content
Hesabu 14:3-4

Hesabu 14:3-4

3
Kwa nini Bwana anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?”
4
Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options