Skip to content
Hesabu 14:18-20

Hesabu 14:18-20

18
‘Bwana si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’
19
Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”
20
Bwana akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options