Skip to content
Hesabu 14:1-3

Hesabu 14:1-3

1
Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.
2
Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa!
3
Kwa nini Bwana anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options