Hesabu 14:1-2
1
Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.
2
Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa!