Skip to content
Hesabu 10:31-32

Hesabu 10:31-32

31
Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.
32
Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na Bwana.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options