Hesabu 10:18-20
18
Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.
19
Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,
20
naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.