Skip to content
Hesabu 1:5-15

Hesabu 1:5-15

5
Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;
6
kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;
7
kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;
8
kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;
9
kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;
10
kutoka wana wa Yosefu: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi; kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;
11
kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;
12
kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;
13
kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;
14
kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;
15
kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options