Skip to content
Hesabu 1:47-49

Hesabu 1:47-49

47
Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.
48
Bwana alikuwa amemwambia Mose:
49
“Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options