Skip to content
Hesabu 2:1-2

Hesabu 2:1-2

1
Bwana aliwaambia Mose na Aroni:
2
“Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options