Lumaktaw sa nilalaman
Hesabu 1:2-3

Hesabu 1:2-3

2
“Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja.
3
Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options