Vai al contenuto
Nehemia 12:45-46

Nehemia 12:45-46

45
Walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, nao waimbaji na walinzi wa lango wakafanya hivyo pia, kufuatana na amri za Daudi na Solomoni mwanawe.
46
Muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options