मुख्य मजकुरावर जा
Mika 7:14-15

Mika 7:14-15

14
Wachunge watu wako kwa fimbo yako, kundi la urithi wako, ambalo linaishi peke yake msituni, katika nchi ya malisho yenye rutuba. Waache walishe katika Bashani na Gileadi kama ilivyokuwa siku za kale.
15
“Kama siku zile mlipotoka Misri, nitawaonyesha maajabu yangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options