Skip to content
Mika 1:3-4

Mika 1:3-4

3
Tazama! Bwana anakuja kutoka mahali pake; anashuka na kukanyaga mahali palipoinuka juu pa dunia.
4
Milima inayeyuka chini yake na mabonde yanagawanyika kama nta mbele ya moto, kama maji yatiririkayo kasi kwenye mteremko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options