Skip to content
Mathayo 9:6-8

Mathayo 9:6-8

6
Lakini, ili mpate kujua kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani kusamehe dhambi…” Ndipo akamwambia yule aliyepooza, “Inuka, chukua mkeka wako, uende nyumbani kwako.”
7
Yule mtu akasimama, akaenda nyumbani kwake.
8
Makutano walipoyaona haya, wakajawa na hofu ya Mungu, wakamtukuza Mungu ambaye alikuwa ametoa mamlaka kama haya kwa wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options