Skip to content
Mathayo 9:37-38

Mathayo 9:37-38

37
Ndipo akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi lakini watendakazi ni wachache.
38
Kwa hiyo mwombeni Bwana wa mavuno, ili apeleke watendakazi katika shamba lake la mavuno.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options