Skip to content
Mathayo 9:21-22

Mathayo 9:21-22

21
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
22
Yesu akageuka, naye alipomwona akamwambia, “Binti, jipe moyo mkuu, imani yako imekuponya.” Naye yule mwanamke akapona kuanzia saa ile ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options