Перейти к содержимому
Mathayo 9:20-22

Mathayo 9:20-22

20
Wakati huo huo, mwanamke mmoja, ambaye alikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu kwa muda wa miaka kumi na miwili, akaja nyuma ya Yesu, akagusa upindo wa vazi lake,
21
kwa maana alisema moyoni mwake, “Kama nikigusa tu vazi lake, nitaponywa.”
22
Yesu akageuka, naye alipomwona akamwambia, “Binti, jipe moyo mkuu, imani yako imekuponya.” Naye yule mwanamke akapona kuanzia saa ile ile.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options