Skip to content
Mathayo 9:18-19

Mathayo 9:18-19

18
Yesu alipokuwa akiwaambia mambo haya, mara akaingia kiongozi wa sinagogi akapiga magoti mbele yake, akamwambia, “Binti yangu amekufa sasa hivi. Lakini njoo uweke mkono wako juu yake, naye atakuwa hai.”
19
Yesu akaondoka akafuatana naye, nao wanafunzi wake pia wakaandamana naye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options