Zum Inhalt springen
Mathayo 8:14-15

Mathayo 8:14-15

14
Yesu alipoingia nyumbani kwa Petro, alimkuta mama mkwe wa Petro amelala kitandani, akiwa ana homa.
15
Akamgusa mkono wake na homa ikamwacha, naye akainuka na kuanza kumhudumia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options