Skip to content
Mathayo 7:28-29

Mathayo 7:28-29

28
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, makutano ya watu wakashangazwa sana na mafundisho yake,
29
kwa sababu alifundisha kama yeye aliye na mamlaka, wala si kama walimu wao wa sheria.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options